• iconPQR8+7C7, Waiyaki Way, Nairobi
  • iconinfo@nairobischool.ac.ke

Official Opening Hours : Monday to Friday - 8 AM to 5 PM

support icon

Need Help? Call us immediately...

0741 946 507 || 0794 026 211

Kiswahili

Academic Department

Kuhusu Kiswahili

Kutoka Kwa Mkuu Wa Idara

Kiswahili ni mojawapo wa lugha za Kiafrika inayokua kwa kasi mno. Katika Afrika ya Mashariki, Kiswahili kinazungumzwa katika nchi za Kenya, Tanzania, Uganda, Rwanda na Burundi. Aidha, Kiswahili kinazungumzwa katika nchi za Congo na Zaire.

Ndiposa sisi kama Idara ya Kiswahili tunajizatiti kuhakikisha kwamba vijana hawa wanaielewa lugha hii ya kupendeza. Licha ya changamoto zinazotukumba, twajikaza kuichambua lugha hii na kuwapa wanafunzi ufahamu zaidi.

0 Department teachers
1 Performance tables
Kiswahili Department focus
Kiswahili
Mrs. Okadia
Mkuu Wa Idara Ya Kiswahili
Performance Snapshot

Results Overview

Kiswahili Performance

No performance records are available yet for this section.

Kiswahili Team

No teacher profiles have been added for this department yet.